Saturday, September 6, 2014

SIMBA YAICHAPA BAO TATU BILA GOR MAHIA.


Kikosi cha Simba FC kilichoanza mechi ya leo dhidi ya Gor Mahia katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kikosi cha timu ya Gor Mahia mabingwa wa Kenya.

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (katikati) akiwania mpira na wachezaji wa Gor Mahia

a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8_Qzxbx62f6Lw23AFpxcjywVeo9feUJOeSZHT6Qp9wyOcdlp7QnKt13DhJd6AmPZnZHYq8hJSFV3P2KZ4rPrLhyD0E-tRv7oqh8GZTgFRGn-LgwYnRUWSREy-TCPFs4FurkNhAAwiJew/s1600/SIMBA3.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">
Mashabiki wa Simba wakiendelea kuangalia mechi.

SIMBA SC imeonyesha ubora wake wa msimu huu, baada ya kuwafumua mabingwa wa Kenya, Gor Mahia mabao 3-0 katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mabao ya Simba SC yamepatikana kipindi cha pili, wafungaji Paul Kiongera aliyeiadhibu mara mbili timu yake ya zamani na Ramadhani SIngano ‘Messi’ moja.

(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top