
Staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans.
Chuchu alisema katika maisha ya mwanadamu kama Mungu amepanga kitu siku zote kitatimia hivyo anaamini wanaopinga uhusiano wao kwa maneno ya chinichini na kwenye mitandao ya kijamii ni maadui lakini hawatashinda.
UNAAMBIWA MAKALIO MAKUBWA FOR LADIES NDIO HABARI YA MJINI KWA SASA! JIONEE PICHA HIZI;
“Najua kabisa nina maadui wengi sana lakini naamini Mungu atasimama wanaiponda sana ‘kapo’ yetu lakini Mungu akipanga kitu siku zote lazima kitatimia hakuna ubishi,” alisema Chuchu.Staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans akiwa na mpenzi wa Vincent Kigosi ‘Ray’.
Kabla ya kuwa na uhusiano na Ray, Chuchu aliwahi kuolewa na mtangazaji Frank Mtao ambaye inasemekana wameshamwagana.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment