Tuesday, September 2, 2014

SHILOLE AKIRI KUTO VAA KONDOM AFANYAPO MAPENZI.

Mwigizaji wa filamu na mwanamuziki wa miondoko ya kizazi kipya, Zuwena Mohammed 'Shilole' amesema kuwa matumizi ya kondom wakati wa mahaba hayaleti ladha ndio maana alilazimika kwenda kupima ngoma na mpenzi wake Nuh Mziwanda ili wasiwe wanatumia kondom.

STORI MPYA, PICHA NA VIDEO KALI. BOFYA HAPA!
Akizungumza na Mwandishi wetu, Shilole alisema kuwa raha ya mapenzi ni kila mmoja kuwa na mwenzake bila kuwa na kizuizi chenya kuondoa ladha hiyo na baada ya kupima kila mmoja ameapa kutochepuka ili asilite maambukizi ndani ya uhusiano wao....

    "Asikudanganye mtu, raha ya kula ndizi ni kula ikiwa imemenywa, ikiwa na maganda inaondoa utamu ndio maaa mimi na mwenzangu tulilazimika kwenda kupima afya zetu na kila mmoja alibainika ni mzima hivyo tumeahidiana kutosalitiana ili tusileteane maambukizi"alisema Shilole.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

(+18)DENTI WA CHUO AVUJISHIWA PICHA ZA UTUPU, BAADA YA KUJISAHAU NA KUMPA JAMAA FLASH YENYE GROUP WORK.
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top