Wakili Juma Nassoro akizungumza na waandishi na wafuasi wa Sheikh Ponda.

Baadhi ya wafuasi wa Sheikh Ponda wakimsikiliza wakili Juma Nassoro nje ya mahakama kuu.
KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda ya kufanya mkutano wa hadhara mjini Morogoro, imeahirishwa hadi Septemba 10 mwaka huu, itakaposikilizwa katika Mahakama Kuu.


0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment