Sunday, September 7, 2014

HAYA NDIYO MAJAIBU YA NAY WA MITEGO KUHUSU KUJIHUSISHA NA FREEMASON.

Rapper Nay wa Mitego ambaye hivi karibuni alizusha maneno mengi kutokana na video ya wimbo wake  yenye mambo ya kutisha, amewajibu mashabiki wake kwamba hajali kuhusishwa na ufreemason ilimradi anaingiza pesa anayoitaka.



Akizungumza na kituo cha redio cha Victoria FM kilichopo mjini Musoma, Nay amesema amekuwa akipokea maswali mengi yakitaka kujua kama anajihusisha na jamii ya siri ya freemason kutokana na matendo yake.

UNAAMBIWA MAKALIO MAKUBWA FOR LADIES NDIO HABARI YA MJINI KWA SASA! JIONEE PICHA HIZI;

Mimi sijali kama najihusisha na freemason, naangalia jinsi gani naingiza pesa  na huu ndio aina ya muziki wangu na kuna mambo makubwa zaidi yanakuja. Muziki wangu na maisha yangu kama yanahusishwa na freemason lakini ninachojali ni pesa tu, aliseMA


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

UMEIPATA HII YA MWANAMKE ANAYEISHI NA MUME NA BOYFRIEND NYUMBA MOJA KISA ETI ANAWAPENDA WOTE.

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

PHOTOS of Canadian Millionaire who pays $80,000 to have passionate kiss with Elizabeth Hurley.

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top