Wednesday, August 6, 2014

Mkuu wa majeshi Generali Mwamunyange na Ujumbe wake wakiwa DUBAI na Mtu Mrefu kuliko wote duniani kwa sasa.


Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange(wa nne kushoto) pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga(wa pili kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top