Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange(wa nne kushoto) pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga(wa pili kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.
Wednesday, August 6, 2014
Browse » Home »
news
,
siasa
» Mkuu wa majeshi Generali Mwamunyange na Ujumbe wake wakiwa DUBAI na Mtu Mrefu kuliko wote duniani kwa sasa.
Mkuu wa majeshi Generali Mwamunyange na Ujumbe wake wakiwa DUBAI na Mtu Mrefu kuliko wote duniani kwa sasa.
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange(wa nne kushoto) pamoja na ujumbe wake, akiwa na Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga(wa pili kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa Hoteli ya Continental ya Dubai, ambaye kwa sasa ndiye Mtu Mrefu Duniani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment