Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Kikwete Usiku wa Agosti 2
2014,alikutana na waTanzania katika hoteli ya Marriot iliyopo jijini
Washington DC Baada ya hotuba yake,Rais Kikwete aliruhusu maswali kutoka
kwa Watanzania hao.
Miongoni mwa maswali hayo ni yale yaliyotaka uthibitisho wa Rais juu
ya taarifa aliyowahi kuitoa Katibu Mkuu wa Chadema Dr.Wilbroad Slaa
kuhusu madai ya Ridhiwan Kikwete kukamatwa na madawa ya klulevya China.
Rais ametoa ufafanuzi kuhusu tuhuma hizo,yapo maswali mengi mengine ambayo Rais ameulizwa,Ripota
karekodi kila kitu na hiki ndicho kilichotokea.
Hizi ni dakika 30 za maswali hayo na majibu,Bonyeza play kusikiliza
Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment