Wednesday, August 13, 2014

MECHI YA KIRAFIKI NDANDA FC WAIFUMUA JKT RUVU KWA 4-1.


Picha za timu zote mbili zikimenyena vikali.

Gari la Jeshi la timu ya  JKT Ruvu likiwasubiri wachezaji nje ya uwanja.


Mipira ya ziada na maji ya kunywa kwa ajili ya wachezaji.

TIMU ya  Ndanda Fc kutoka  Mtwara imemenyana vikali na timu ya JKT Ruvu katika mechi ya kirafiki iliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ardhi, Jijini Dar es Salaam.Katika mechi hiyo, Ndanda FC imeibuka kidedea kwa kuwachapa timu hiyo ya wajeda jumla ya mabao 4-1.


Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.

PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top