Wednesday, August 13, 2014

JINI KABULA AANZA KUVAA MITUMBA; ANASWA LIVE AKIFANYA SHOOPING.

 WAKATI mastaa hupendelea kufanya shopping katika maduka makubwa, msanii wa filamu Miriam Jolwa maarufu kama Jini Kabula, mwishoni mwa wiki iliyopita alinaswa akichagua gauni alilodai ni la harusi katika duka la mitumba lililopo Makumbusho jijini Dar.


Msanii wa filamu, Miriam Jolwa maarufu kama Jini Kabula akiwa na rafiki yake Isabela wakifanya shopping katika duka la mitumba.

BAADA YA KUTIMULIWA SIMBA LOGA AVAA JINGINE SASA AMENDEA PENZI KWA WEMA SEPETU.

Msanii huyo akiwa na rafiki yake, Isabela walikutwa wakiwa bize katika duka hilo linalofahamika kama kwa Mzee wa Pamba.

PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.

“Kwani kuna ajabu gani mimi kuja kununua gauni la harusi yangu mtumbani? Watu wanashidwa kuelewa kuwa magauni ya mitumba ni mazuri sana” alisema baada ya kuulizwa kulikoni asiende kwenye maduka makubwa ya nguo.


Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.


Agnes Masogange anazidi Kukutamanisha Online Mcheki Hapa alizokupostia Jana instagram.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top