Thursday, August 7, 2014

Linex Asema2015 Lazima Agombea ubunge kupitia chama hiki Cha Kisiasa.

Baadhi ya Mastar wa Tanzania wameamua kuweka wazi nia zao za kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali,miongoni mwa watu hao kwa sasa ni msanii kutoka Kigoma All Stars anaitwa Linex Mjeda.

PASTOR MYAMBA Afunga Harusi ya Kufuru! KAMATI PEKE YAKE ILIMZAWADIA Million 250;Dada Mtu Nae Million 100.Wapambe ....

Amekua wazi kutaja chama ambacho anategemea kugombania nafasi yake ya ubunge aliyosema kuwa tayari ana jimbo anasubiri muda tu na chama alichosema anategemea kugombea ni chama kipya cha ACT.



Aunt Ezekiel Afumaniwa na Dansa wa Diamond Ambaye ni Mme wa Mtu waki Du Nyumbani Kwa Wema Sepetu.

Soudy Brown amemuuliza maswali mengi ikiwemo kama kweli ana kadi ya chama,sikiliza alichojibu hapa.
104.4 Clouds fm inasikika ukiwa Dodoma.
Bonyeza play kusikiliza.


Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top