Sunday, July 20, 2014

STARS WATOKA SARE YA 2-2 NA MAMBAZ WA MSUMBUJI.


TIMU ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars' imetoshana nguvu na timu ya Taifa ya Msumbiji 'Mambaz' katika mechi ya  kufuzu Kombe la Mataifa Afrika 2015 kwa sare ya mabao 2-2.


Mechi hiyo iliyokuwa na upinzani mkubwa imepigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mabao ya Stars yote mawili yamewekwa kimiani na Khamis Mcha dakika ya 65 na 71 kwa mkwaju wa penalti huku ya Mambaz yakifungwa na Elias Pelembe kwa penalti dakika ya 47 na Isac Carvalho dakika ya 87.


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top