Wednesday, July 2, 2014

BONGO MUVI WAFUNIKA KWA MAUNO WAKATI WA kusimikwa ukamanda wa vijana Tawi la CCM Bwawani.

 Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka.
MASTAA  wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’, Salma Salim ‘Sandra’ na Rose Ndauka juzi walikuwa kivutio kwa wananchi waishio maeneo ya Kinondoni jijini Dar baada ya kushindana kuzungusha nyonga.

Staa wa filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’.

Mastaa hao walifanya tukio hilo katika sherehe za kuwasimika ukamanda wa vijana Tawi la CCM Bwawani ililopo maeneo hayo wakati walipopagawa na vikorombwezo vya Msaga Sumu katika wimbo wa taarab.

“Dah kumbe mastaa wetu wana fani nyingi, angalia mauno yale utafikiri hawana mifupa sehemu za kiunoni,” alisikika akisema njemba moja lililokuwa likishuhudia shoo hiyo ya bure.

Staa wa filamu Bongo, Salma Salim ‘Sandra’.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya. 

 

PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top