Amesema yuko tayari kufanya mapenzi na Kila Boko Haramu ilimradi wawaachie wasichana zaidi ya 200 mateka. Hadi sasa Bado Hamna dalili zozote za kupatikana kwa wadada hao licha ya juhudi za jeshi la Nigeria za kupambana na kikundi hicho.
Wednesday, July 2, 2014
Browse » Home »
udaku
» Mfahamu mrembo wa Nigeria alietoa Offer ya ngono kwa Kila Boko Haram ili iwaachie wasichana mateka.
Mfahamu mrembo wa Nigeria alietoa Offer ya ngono kwa Kila Boko Haram ili iwaachie wasichana mateka.
Anaitwa
Adokiye Kyrian na ni Bikira kwa mujibu wake .
Pamoja na kuwa Mzuri Lakini wapiganaji hao wa msitni hawajajibu Lolote.
Amesema yuko tayari kufanya mapenzi na Kila Boko Haramu ilimradi wawaachie wasichana zaidi ya 200 mateka. Hadi sasa Bado Hamna dalili zozote za kupatikana kwa wadada hao licha ya juhudi za jeshi la Nigeria za kupambana na kikundi hicho.
Amesema yuko tayari kufanya mapenzi na Kila Boko Haramu ilimradi wawaachie wasichana zaidi ya 200 mateka. Hadi sasa Bado Hamna dalili zozote za kupatikana kwa wadada hao licha ya juhudi za jeshi la Nigeria za kupambana na kikundi hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment