Wimbo huo ambayo imeachiwa jana usiku kupitia mtandao wa Youtube na Prodyuza Mike Wil ambaye ndio aliyetengeneza ngoma hiyo. Wimbo huo uliopewa jina la ‘P**sy Overrated na lengo kubwa likiwa ni kuwaponda Ambaer na Ciara. Katika moja ya mistari ya nyimbo hiyo Wiz alimponda Amber kwa kusema ” Rich ni**a get you/ he’ll never put nothing above you / every time I see you I don’t never want nothing from you ” huku Future akimponda Ciara kwa kusema ” You supposed to f*ck me like a star/ girl you know you faking / yo pu**y overrated!”
Unaweza usikiliza wimbo huu hapa chini. Tungependa kupata maoni yako kuhusu kitendo kilichofanywa na Future na wiz je ni sawa???
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment