Thursday, October 16, 2014

Wiz Khalifa na Future watoa nyimbo kuwadiss Amber na Ciara, usikilize hapa.

Future na Ciara waliamua kuvunja ndoa yao miezi michache iliyopita, huku Wiz Khalifa na Amber Rose wakiamua kuivunja ndoa ya wiki chache zilizopita. Habari mpya ni kwamba Future na Wiz Khalifa wameingia studio na kurekodi wimbo wa pamoja wakiwadiss waliokua wake zao  ( Amber na Ciara )

Wimbo huo ambayo imeachiwa jana usiku kupitia mtandao wa Youtube na Prodyuza Mike Wil ambaye ndio aliyetengeneza ngoma hiyo. Wimbo huo uliopewa jina la ‘P**sy Overrated na lengo kubwa likiwa ni kuwaponda Ambaer na Ciara. Katika moja ya mistari ya nyimbo hiyo Wiz alimponda Amber kwa kusema ” Rich ni**a get you/ he’ll never put nothing above you / every time I see you I don’t never want nothing from you ” huku Future akimponda Ciara kwa kusema ” You supposed to f*ck me like a star/ girl you know you faking / yo pu**y overrated!”

Unaweza usikiliza wimbo huu hapa chini. Tungependa kupata maoni yako kuhusu kitendo kilichofanywa na Future na wiz je ni sawa???

Images of The world's largest cruise ship arrived in the UK for the first time.; ANGALIA MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI YATIA NANGA UINGEREZA.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top