Tuesday, September 9, 2014

ZIFAHAMU HATUA MUHIMU UNAPOFIKIRIA KUTONGOZA.


Jambo la kwanza lililo la msingi ni kufahamu anachokipeanda yule unayetaka kuanza kumfuatilia.Je ni mwenye kupenda hali gani,yuko makini au hayuko makini
Furaha ya wanawake wengi ni kuwa na mwanaume ambaye anajiamini.

HATUA ZA KUZINGATIA:

a) Mguse bega au sehemu ambayo si ya kumdhalilisha,mwambie du umependeza;kama uko kwenye mazingira ambayo yanawezekana,Inashauriwa kumgusa kama unataka kuuliza jambo fulani,Hili ni jambo la msingi kwani kitaalamu linachangia kumjua mtu tabia yake na anavyoweza kukuchukulia katika mambo mengine unayotaka kuyasema.

b) Wanaume wengi wanakosea kwa kuomba namba za simu,lakini kitaalamu njia inayokubalika ni wewe mwanaume kumpa namba yako huyo mwanamke ambaye unafikiria kuanzisha mawasiliano nae kwa lengo kwamba mwisho wa siku awe mkeo.Au wakati mwingine unaweza kumpa simu yako ili aandike namba yake.

PICHA YA LULU INSTAGRAM IMEWAACHA MIDOMO WAZI WANAWAKE WANAOSHINDWA KUTUMIA UBUFU KAMA WAKE WA KUINGIZA MKWANJA.

c) Kama mnaweza kupata muda,mkaribishe sehemu kwa ajili ya kuongea zaidi.Mara nyingi usianzishe mazungumzo ya kumwambia mtu nataka kuoa,hata kabla hamjakaa na kusomana hata kama kwa sekunde kadhaa.

Ni aibu kuambiwa sikutaki au nina mwingine,lakini ukianza kwa vitendo,unaweza kujua kama hapa kuna dalili au kuachana na kile unachotaka kukisema.

Hata katika maisha ni vizuri kuwa mwangalifu kabla ya kuamua kumtongoza fulani na kukubaliana na fulani,pata muda wa kumchunguza kwani safari ya ndoa ni ndefu,inahitaji kuwa na mtuambaye kweli anafaa.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

JESHI LA MAGEREZA LAKANUSHA TAARIFA ZA UZUSHI KUWA BABU SEYA NA MWANAE WAMEACHIWA HURU

PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online