Monday, September 22, 2014

HIKI NDICHO ALICHOFANY'WA LINAH SANGA KWENYE TAMASHA LA FIESTA 2014 NA KUACHA GUMZO MKOANI MORO.

Msanii wa Bongo Fleva, Linah Sanga akicheza na mmoja ya shabiki wake Ole Themba usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

Mashabiki wakiendelea kupagawa na burudani.

Mkali kutoka Morogoro, Stamina akiwapa burudani mashabiki wake sambamba Nay Wamitego.

Staa wa Bongo Fleva, Mr. Blue naye ndani.

Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo wakicheza.

Mtangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu 'Baba Jonii' akifanya yake.




LAANA++:BINTI AACHIA PICHA ZAKE ZA UTUPU MTANDAONI KUTAFUTA WANAUME.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU


Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top