Tuesday, September 9, 2014

DIAMOND ATWAA TUZO YA COLLABO BORA YA MWAKA AUSTRALIA


Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.

Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz.

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Diamond aliyeko nchini Nairobi amewajulisha mashabiki wake kuhusu tuzo hiyo kwa kuandika hivi:

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

TAZAMA PICHA CHAFU ALIZOPIGA HUYU MWANAFUNZI WA CHUO NA BOYFRIEND WAKE KISHA KIZIPOST FB.


PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top