Kamishina Kova akiwa ameshika bastola zilizokamatwa kwa watuhumiwa.
Bastola na risasi zilizokamatwa.
Baadhi ya vitu vingine vilivyokamatwa na jeshi la polisi.
JESHI la polisi linawashikilia majambazi wawili kwa tuhuma za kujihusisha na unyanga’nyi wa kutumia silaha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam na mikoa ya jirani.
Watuhumiwa hao ni Fredy Steven (25) mfanyabiashara na mkazi wa Kiwalani, jijini Dar es Salaam, ambapo mwingine ni Irene Nyange (36) mfanyabiashara na makazi wa Kijitonyama, Dar. Uchunguzi unakamilishwa na watuhumiwa watafikishwa mahakamani wakati wowote.
Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.
ISOME NA HII
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment