SAA chache baada ya kuuwa wanajeshi 300 wa Syria, Kundi la wapiganaji wa ISIS limetoa onyo lingine kwa Marekani likiachia video inayowaonyesha mateka 15 wa Kikurd ambao nao watauawa iwapo Marekani haitaondoa majeshi yake.

Mateka 15 wa Kikurd wanaoshikiliwa na wapiganaji wa ISIS.


Wapiganaji wa ISIS wakiwaswaga wanajeshi zaidi ya 200 waliokamatwa katika ngome ya anga ya Tabqa nchini Syria katika jangwa kuelekea eneo la mauaji.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment