Tuesday, August 19, 2014

TFF KUANDAA TENA MECHI KUJARIBU TIKETI ZA ELEKTRONIKI.


Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura, akizungumza na wana habari katika ofisi za TFF jijini Dar es Salaam.

Wanahabari wa michezo wakimsikiliza Wambura.

SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeandaa mechi nne katika viwanja vine tofauti nchini ili kufanya majaribio ya uuzaji wa tiketi za elektroniki ili zitumike msimu huu wa Ligi Kuu Bara.

Ofisa wa Habari wa TFF, Boniphace Wambura, amesema wameandaa mechi hizo ili kuwapa nafasi mashabiki kujifunza na kuujua mfumo huo na pia kutoa mafunzo kwa wahusika kutoka timu shiriki za Ligi Kuu Bara.

PHOTOS MBALIMBALI ZA UTENGENEZWAJI WA VIDEO YA NICKI MINAJ ‘ANACONDA’.


Mechi hizo ni pamoja na mechi ya Mtibwa na Polisi Moro katika uwanja wa Jamhuri Morogoro, Coastal Union na Ruvu Shooting katika Uwanja wa Mkwakwani Tanga, Kagera Sugar dhidi ya 11 Stars katika Uwanja wa Kaitaba na Simba dhidi ya Mtibwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Masogange Releases Another Killing Photo to Attact you for her Business that Shows Off Her Blessed Assets.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top