Wednesday, August 13, 2014

SAJENTI APAGAWA NA YEMI ALADE KIASI CHA HAJA....


MUIGIZAJI wa filamu Bongo Husna Idd ‘Sajenti’ juzi kati katika Tamasha la Matumaini alionekana kupagawa na songi la mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Yemi Alade kiasi ambacho hakujivunga kuserebuka naye.


Muigizaji wa filamu Bongo Husna Idd ‘Sajenti’  akicheza pamoja na staa wa muziki toka Nigeria Yemi Alade.
KWA WATU WAZIMA TU; CORAZON AMEACHIA VIDEO NYINGINE AKIKATIKA AKIWA NUSU UTUPU ICHEKI HAPA.
“Dah! Sio siri huyu mwanamuziki amenijua kuniamsha mashetani yangu, kile kitu cha Johny sio mchezo lazima upagawe,” alisikika akisema Sajenti.

Diva wa muziki kutoka Nigeria, Yemi Alade akimtafuta Johnny.…

Tamasha la Usiku wa matumaini huandaliwa kila mwaka na kampuni ya Global Publishers likiwa na nia ya kuwapa watu matumaini katika maisha yao sambamba na kuchangia ujenzi wa mabweni ya shele za sekondari.

Picha Mpya za Rihanna ambazo W Magazine imemtambua Rihanna kama “world’s wildest style icon”.







Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.

CHANGAMKIA VIDEO NA PICHA ZA MREMBO ALIYELEWESHWA POMBE NA KUFANYIZIWA MAMBO YA......

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top