Monday, August 4, 2014

Rais Jakaya Kikwete:Sina muda kujadili upuuzi kuhusu Ridhiwani.


Taarifa kutoka ofisi ya Rais kuhusu maneno yanayosemekana kwamba Rais Jakaya Kikwete kushiriki kusaidia kumwokoa mwanae ambaye ni mbunge wa jimbo la Chalinze Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete baada ya kukwamatwa na dawa za kulevya nchini China.

Hii ni taarifa kutoka ofisi ya Rais yenye maneno ya Rais Jakaya Kikwete.


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top