Sunday, August 3, 2014

Picha za Justin Bieber akiwa mapenzini na Msichana Mupyaaaaa Kabisa Hizi Hapa Zicheki.


Pop star Justin Bieber aliungana na Kanye West,Kim Kardashian,P.Diddy na mastaa wengine kwenye mapumziko kwenye visiwa vya Ibiza. Baada ya party ya pamoja kuisha kila mtu aliendelea na party kivyake na Justin Bieber alionekana aki-enjoy muda wake na mshichana asiyejulikana.

Dillish Mathew's exposing her smooth body in a lovely bikini outfit.



 
Mikao yao na ukaribu wao kutokana na picha zilizopigwa wakiwa kwenye luxury yacht zinaonyesha kabisa wapo kwenye mapenzi. Wawili hao walitumia muda huo kukaa pamoja,kissing,kunywa na vitu vingine vizuri. Mapaparazi hawakuwaacha baada ya kuwapiga picha usiku huo kwasababu hadi asubui walipata picha zao bado wapo pamoja.

Exposed Beutiful and Attractive Pictures of Serena Wiliam.



Tetesi zinasema kwamba anaweza kuwa ni girlfriend mpya wa Justin Bieber.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top