Sunday, August 3, 2014

WAREMBO WA DOM WAPAGAWA MBAYA NA SHOO LA DK.CHAMELEONE.

Taswira mbalimbali za makamuzi ya mwanamuziki nguli kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone ndani ya Klabu Maisha iliyopo mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo.

Chameleone akiwapagawisha mashabiki wake mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo.

Dillish Mathew's exposing her smooth body in a lovely bikini outfit.




Msanii Y-Tony naye alikuwepo kutoa burudani kwa mashabiki ndani ya Maisha Club, Dodoma.

Mashabiki wakipagawa na shoo ya Chameleone.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top