Tuesday, August 19, 2014

Mwenyekiti wa bunge Maalum la Katiba Mh.Samwel Sitta aongezewa ulinzi.

 Gazeti la Tanzania Daima August 19 2014 limeripoti kwamba Mwenyekiti wa bunge la katiba Samwel Sitta sasa hivi ameongezewa ulinzi ili kuhakikisha anakuwa salama zaidi kila anapokwenda. Kaongezewa walinzi wawili wanaokuwa nae kila anakokwenda lakini pamoja na hilo, ameongezewa gari jingine ambalo linatumika kumbeba mmoja wa Walinzi wake.Photos of Brenda Wanjiru: President UHURU Kenyatta’s HOTT Female BODYGUARD.

 
Kwenye moja kati ya sentensi nyingine kubwa kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania leo August 19 2014, ni hii ya gazeti la Uhuru inayosema Mtandao hatari wa kusafirisha Watoto kwenda nje ya nchi umebainika baada ya Polisi kuzima jaribio la kutoroshwa Watoto 13 mkoani Tanga.
Watoto hawa walikua wakivushwa kwenda Kenya na hata wazazi wao hawakuwa na taarifa huku ikiripotiwa walikua wakipelekwa kwenye kituo cha Kiislam kutumikishwa nchini humo.

Dudu Baya: Sijabahatika kumpata mwanamke ninayemtaka, nakutana na machizi tu.



HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

Watch Video of Bill Gates wins the Ice Bucket Challenge with ridiculous machine.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top