Wednesday, August 20, 2014

MWANAMITINDO MWENYE ASILI YA SOMALI ALIYEPOTEA MAREKANI YAANI USA AKUTWA HOSPITALINI.


Mwanamitindo raia wa Sudan aishie Marekani, Ataui Deng.

Mwanamitindo raia wa Sudan aishie Marekani, Ataui Deng aliyepotea kwa muda wa wiki mbili huku akitafutwa na polisi amekutwa akiwa hai katika hospitali moja New York.

School Teacher aged 32, had sex twice with 13 year pupil and sent him sexually explicit pictures.

Marafiki wa mwanamitindo huyo walitoa taarifa polisi na kuanzisha kampeni maalum ya kumtafuta baada ya kushindwa kumpata kwa kipindi kirefu, kampeni ambayo iliungwa mkono na watu maarufu akiwemo Rihanna.

penzi wake, Grand Monohon alisema kuwa mara ya mwisho alimwambia kuwa anaaka kwenda mbali lakini aliacha simu na kila kitu chake nyumbani kwao.

Hakuna taarifa rasmi zilizotolewa  kuhusu hali ya Autui hadi sasa.

Questions remain unanswered following Michael Brown shooting.

Kwa mujibu wa polisi, Ataui aliyeingia nchini Marekani kama mkimbizi akitokea kwao Sudan, alionekana kwa mara ya mwisho Agosti 6 majira ya saa tano usiku na kupatikana Agosti 18.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU 

SEXIEST PHOTOS OF KIM KARDASHIAN WALKING ON STREET WITHOUT UNDERWEAR.

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top