Wednesday, August 20, 2014

AISHA BUI: KUSHINDA MAISHA UWE MKAKAMAVU HASWAA.


MWIGIZAJI wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui, amesema ili kuyashinda maisha magumu Bongo, ni lazima uwe mkakamavu, kama yeye alivyolazimika kwenda kutengeneza filamu yake mpya ya Mshale wa Kifo, katika msitu wa kutisha ili kwenda tofauti na wengine.

Mwigizaji wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui.

AJALI MBAYA KABISA YA MABASI KUGONGANA USO KWA USO YAUA TAKRIBANI 16 NA KUJERUHI 75 TABORA.

“Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia msituni kutengeneza filamu ya mapigano porini, kutafuta uhalisia, najua nina deni kwa wapenzi wa kazi zangu, wanajua kuwa mimi ni bora hivyo lazima niwe bora kila mwaka,”anasema mwigizaji huyo.

Alisema maoni mengi ya watu yanaonyesha wanakerwa na kila filamu kuigizwa mijini tu, hivyo yeye akajitoa ili aende sambamba na mahitaji ya mashabiki wake, kwa kwenda katika misitu ya Morogoro vijijini kuifanya filamu hiyo, aliyowashirikisha pia Mzee Chilo, Salim Ahmed ‘Gabo Zagamba’ na wengineo, kazi iliyofanywa  Yuneda Entertainment.


HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

KATANGAZE: LIVE! MSANII WA BONGO FLEVA ANASWA AKINUNUA MACHANGU Sinza Africasana Dar.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top