Wednesday, August 20, 2014

MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY; WADAIWA KUMPENDA MWANAMKE MWINGINE AWE WIFI YAO.


 Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’.
NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa

School Teacher aged 32, had sex twice with 13 year pupil and sent him sexually explicit pictures.


Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu kwa mwanamke huyo na mara nyingine huwa wanamchukua kumpeleka nyumbani kwao Morogoro.

Questions remain unanswered following Michael Brown shooting.


‘Cathy’ akipozi.

Cathy alipopatikana alikiri na kusema hata hivyo hao mawifi wanajisumbua bure kwani hawezi kuachika kwa ajili yao, kwa sababu mumewe Rupia anampenda sana labda siku apende yeye mwenyewe na hata akiamua kuachika mumewe hawezi kurudia matapishi, atachukua kitu cha ukweli.

HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA
PIA ISOME NA HII HAPA CHINI INAKUHUSU

SEXIEST PHOTOS OF KIM KARDASHIAN WALKING ON STREET WITHOUT UNDERWEAR.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top