Saturday, August 16, 2014

Matokeo ya Kagame Cup Leo ni Azam FC 4-1 Adama City.


Klabu ya Bingwa ya Vodacom Premier League, Azam FC leo hii imeshuka dimbani mjini Kigali Rwanda kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya kombe la Afrika Mashariki na Kati dhidi ya Adama City ya Ethiopia.

Mchezo huo wa hatua ya makundi uliopigwa kwenye uwanja wa Nyamirambo umeisha kwa ushindi mnono kwa Azam FC.

Mabao ya Nahodha John Bocco, Mcha Viali, Didier Kavumbagu na Kipre Tchetche yameipa Azam ushindi wa 4-1.

Kwa matokeo hayo Azam inaongoza lake na imefanikiwa kutinga robo fainali ambapo itacheza na El Marreikh ya Sudan Agosti 20.

KWA WATU WAZIMA TU; CORAZON AMEACHIA VIDEO NYINGINE AKIKATIKA AKIWA NUSU UTUPU ICHEKI HAPA.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top