Wednesday, August 6, 2014
Majibu ya Davido kuhusu beef lake na Wiz Kid Haya HAPA.
Kwenye internet kulikuwa na tetesi kuhusu Wiz Kid na Davido wapo
kwenye beef. Tetesi hizo zilichangiwa sana na post za wasanii hawa
kwenye social media ikionyesha kwamba kama kila mtu anajaribu kupiga
kijembe mwenzake japokuwa hakuna aliyewai kumtaja mwenzake moja kwa
moja.
Davido akiwa kwenye tour zake anazofanya Marekani amekutana na Sahara
TV ambao wamemuuliza kuhusu hilo beeef kati yao. Hili ndilo jibu lake.
MSIKILIZE HAPO CHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment