Diamond Platnumz a.k.a Dangote hapo jana aliandika na kuweka picha za tuzo zake ambazo amechukua mpaka sasa Diamond msanii anaye iwakilisha Tanzania vizuri alifunguka haya kwe mtandao wake wa facebook kuwa.

" Kama kweli una macho mazuri heb niambie hizo ziko ngapi....? dah! ila bado naikumbuka tunzo yangu moja iloibiwaga zamani...watu bwana, eti naskia waliambiwa na mganga ili mimi nishuke waniibie tunzo yangu moja halaf waipeleke kwake...
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment