Thursday, August 14, 2014

Toleo jipya la gar aina ya Bugatti Hili Hapa na kulipata moja ni zaidi ya Tsh bilioni 5.

Bugatti ni moja ya magari machache yenye gharama kubwa sana duniani ambayo mara nyingi humilikiwa na watu wenye kipato kikubwa tu ambapo kampuni inayotengeneza magari hayo imetoa matoleo matatu ya lengend edition na hii ya sasa hivi ndiyo ya mwisho kwenye edition hii.

Toleo hili la tatu yatatengenezwa magari matatu tu ambayo kila moja litauzwa kwa $3.14 million.




HATA KUBONYEZA KA Like Tu Hapo JUU HUTAKI; BONYEZA BASI MPEDWA

MATEJA WAMLEWESHA TEJA MWENZAO WA KIKE KISHA KUMLA TIGO. PICHA ZA TUKIO HAPA.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top