Wednesday, August 13, 2014
Browse » Home »
breaking
,
news
» HABARI ILIYOTUJIA SASA; MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA KWA MOTO HADI MDA HUU.
HABARI ILIYOTUJIA SASA; MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA KWA MOTO HADI MDA HUU.
Msikiti maarufu wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam waungua. Hadi muda wa saa moja na nusu usiku huu, magari ya zima moto yameonekana eneo la tukio yakijaribu kuuzima moto huo, ingawa kazi ya kuuzima imeonekana kuwa ngumu kutokana na moto kuanzia ghorofa ya juu ya msikiti huo. Magari ya zima moto yanaendelea kutafuta mbinu ya kufikisha mipira ya maji juu ya jengo hilo, ambalo chini huwa ni msikiti na juu ni madrasa. Hizi ni baadhi ya picha za tukio kama zilivyotumwa na mwandishi wa Global Publishers aliyeko eneo la tukio.
Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.
Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment