Thursday, August 14, 2014

DALLAS AMWOMBA WOLPER WARUDIANE KWA KUSEMA WOLPER ‘PLIZ’ TURUDIANE TU!.


Yule zilipendwa wa sexy lady wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe aitwaye Ramadhan Abdallah Mtoro ‘Dallas’ anadaiwa kukumbuka shuka kukiwa kumeshakucha ikielezwa kwamba eti anabembeleza kurudiana na staa huyo waliyetengana takriban mwaka mmoja uliopita ili wakamilishe taratibu za kufunga pingu za masha.

Ramadhan Abdallah Mtoro ‘Dallas’.

Akizungumza na Amani  hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Lango la Jiji uliopo Magomeni, Dar, Dallas alisema kuwa anamshangaa Wolper kumkatalia ombi lake la kurudisha uhusiano wao wa kimapenzi huku akijua fika kuwa bado anampenda. “Nampenda sana Wolper. Pliz namuomba turudiane tu.

PICHA ZA KIBONDE NA GARDNER WAKIPANDISHWA KIZIMBANI JANA.


Ningejua kipindi kile nilivyorudi kutoka nje ningefunga naye ndoa kwani sasa hivi angekuwa ni mke wangu niliyechaguliwa na Mungu lakini ndiyo hataki,” alisema Dallas. Kwa upande wa Wolper alisema kuwa Dallas kwa sasa ni mshikaji wake tu na atabaki kuwa hivyo lakini kuhusiana na mapenzi, hakuna kitu kama hicho.

BAADA YA KUTIMULIWA SIMBA LOGA AVAA JINGINE SASA AMENDEA PENZI KWA WEMA SEPETU.


Sexy lady wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe.

“Nitasaidiana naye kwa kitu kingine lakini siyo mapenzi, kwa sasa niko na mtu wangu,” alisema Wolper. Kabla ya jahazi kwenda mrama, penzi la Wolper na Dallas lilitikisa mji huku kukiwa na maneno mengi ambayo yalimshinda mkali huyo wa filamu za Kibongo ambaye aliamua kuchukua hamsini zake.

Bonyeza Like HAPO JUU USHINDE ZAWADI YA BAHATI NASIBU WAWEZA SHINDA HADI MILLION MOJA.

PICHA NA VIDEO ZA SHILOLE AKIWA MZIWANDA KITANDANI ZAVUJA MTANDAONI, JIONEE MWENYEWE HAPA.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top