Wednesday, July 16, 2014

SHILOLE AMTETEA SERENGETI BOY WAKE; ASEMA WANALINGANA UMRI NA KUSHANGAA WANAOMSEMA ETI SERENGETI BOY.

 

MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametetea maisha yake ya kimapenzi na Nuh Mziwanda, akisema madai kwamba ni kijana mdogo kuliko yeye, siyo kweli kwani wanalingana umri.


Mwanadada anayefanya vizuri kunako gemu la muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’

“Mimi na Mziwanda wangu tunalingana kiumri lakini nawashangaa sana wanaonisema kila siku eti ninatembea na Serengeti boy, jamani mpenzi wangu siyo mdogo kwangu, tunalingana umri, ninampenda na yeye ananipenda, hatujali maneno ya watu,”alisema Shilole.

Nuh Mziwanda

Katika kuonyesha mapenzi yake kwa mwanadada huyo ambaye pia ni muigizaji wa filamu, Mziwanda amejichora tattoo yenye jina la msanii huyo, ambalo haliwezi kufutika.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya. 

 

UWOYA AVURUMISHA TIMBWILI KUBWA KWENYE NYUMBA YA MUME WA MTU.

STAA WA FILAMU ANASWA USIKU NA MKE WA MTU WAKINANILIIHIII!

 

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top