Wednesday, July 16, 2014

MAMA DIAMOND: WASICHANA WANAOJITONGOZESHA KWA DIAMOND WAKOME.

 Mama mzazi wa msanii nyota wa muziki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Bi Sandra’ akitafakari jambo.
MAMA mzazi wa nyota wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Bi Sandra’ amesema baadhi ya wasichana wanajitongozesha kwa mwanaye kwa kuwa ni mtu maarufu.
Mama Diamond amesema wasichana wamekuwa na tabia ya kutumia hata namba yake ya simu na kutuma picha za utupu kwake na kwa mwanaye.


“Napata shida kwa kweli, wasichana wanajitongozesha kwa kupitia namba yangu ya simu, mtu anakupigia anamuulizia Diamond na wengine ndiyo wanatuma hadi picha za utupu kwa kutumia hii mitandao ya kijamii wenyewe wanasema,” alisema.

Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya. 

Isome hii pia

STAA WA FILAMU ANASWA USIKU NA MKE WA MTU WAKINANILIIHIII!

 

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top