Monday, July 14, 2014

Riek Machar asema hana uchu wa madaraka.

Aliyekuwa makamu wa Rais Nchini Sudan Kusini,Daktari Riek Machar, anasema kuwa anachozungumzia kwa sasa ni kutafuta sera ya mfumo mpya wa uongozi wa taifa hilo inayokabiliana na mgogoro wa kisiasa nchini humo.

Machar kwa sasa anaongoza vita vya upinzani dhidi ya serikali ya Rais Kiir. Anasema kuwa anapigania mageuzi wala sio kutaka wadhifa katika utawala wa sasa.iek Machar ameiambia BBC kuwa mfumo huo unastahili kufaidi kila mtu Nchini humo na kuonyesha kuwa nchi hiyo ina demokrasia

Mwezi uliopita serikia na waasi walikubalina kuunda seriali ya umoja wa kitafa katika kipindi cha siku sitini.

Lakini baada ya kuulizwa ikiwa hilo litafanyika bwana Machar alikataa kujibu.

Sudan Kusini ilipata uhuru miaka mitatu iliyipita lakini mwaka uliopita ilitumbukia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.


Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top