Mtazame hapa.
Friday, July 4, 2014
Browse » Home »
siasa
» January Makamba : ‘Kuna Asilimia 90% ya mimi kugombea Urais 2015′, Cheki Video hapa.
January Makamba : ‘Kuna Asilimia 90% ya mimi kugombea Urais 2015′, Cheki Video hapa.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba
amesema hadi sasa uamuzi wake wa kugombea Urais mwaka ujao umefikia asilimia 90. Akihojiwa na mshindi wa tuzo za watu kwenye kipengele cha mtangazaji wa runinga anayependwa, Salim Kikeke kwenye kipindi cha Dira ya Dunia cha BBC Swahili, Makamba amesema kuna mambo ya kujiuliza kabla ya kuamua kuchukua uamuzi huo.
Mtazame hapa.
Mtazame hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment