Sunday, June 22, 2014

Kwa mpira waliotuonyesha Ghana hata wakitolewa Big up sana kwao. FT Ghana 2-2 Germany.


Kwa kweli kama timu za Africa zitaonyesha kiwango ambacho Ghana amecheza leo basi bila shaka kombe la 2018 waAfrika tunaweza fika fainali.

Ilibaki kidogo Ghana ashinde mechi kwa 2-1 mabao yaliyofunga na  A. Ayew 54',  A. Gyan 63' huku lile la Germany likifungwa na gotze 51' ila baada ya wa Germany kuona mambo yamewabana ndipo wakamuingiza mkongwe Klose aliye sawazisha dakika ya 71 na kufanya matokeo kuwa 2-2.

Kwa matokeo hayo tuombe kesho Ureno ashinde dhidi ya USA alafu mechi ya Mwisho Ghana ashinde na Germany ashinde ndo kuna uwezekana wa Ghana kupita.

Ungependa stori kama hizi zisikupite na zikufikie wakati wowote? niko tayari kukutumia wakati wowote iwapo utajiunga na mimi kwa kubonyeza Like hapo juu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top