Bonge la Bwana, Jacob Steven ‘JB’.TAMBO! Bonge la Bwana, Jacob Steven ‘JB’ amejitapa kuwa licha ya mwili wake kutoonekana wa mazoezi lakini yeye ni bonge la straika.
Akistorisha na paparazi wetu, JB ambaye anatamba na filamu ya Shikamoo Mzee, alisema mpira alianza kucheza kitambo tangu alipokuwa akiichezea timu ya JKT Mgambo na Mutukula ya Mwananyamala Dar hadi sasa kwenye Klabu ya Bongo Movie wanamtegemea.

‘JB’ akiwa mazoezini.
“Kwenye mambo ya mpira mimi ni noma, ni bonge la straika, Bongo Movie wananitegemea, watu wasinichukulie poa niko fiti sana kimazoezi,” alisema JB.
Bonyeza Like hapo juu uwe wa kwanza kupata habari mpya.
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment