Lakini hiyo haitoshi kwani katika kipindi cha lala salama mshambuliaj wa Uruguay Luis Suarez ameonekana akimng'ata meno beki wa Italy Chiellini lakini refa hakuona tukio hilo lakini kamera zilivyorudia ilionekana ni kweli.
yaani 2010 akiichezea Ajax , Suarez alimng'ata Otman Bakkal's begani na alipewa adhabu ya kutocheza mechi 7, vile vile alipewa adhabu ya kutocheza mechi 10-game baada ya kumfanyia hivyo mlinzi wa Chelsea Branislav Ivanovic kwenye Premier League game in April 2013.

0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment