
Una ambiwa kama una dadaako basi mkatiz asiende disco na kama anaenda basi kubambiwa na wanaume wenye ukwasu hadi akalimwaga na suala la kawaida hasa kwa wazee wengi ambao siku hizi huvamia haya madosko hapa mjini wakisingizia kipindi chao hakukuwa na vigodoro.





0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment