Thursday, April 17, 2014

Masikini Man city yaani wame toka sare ya 2-2 na Sunderland.

 
Manchester City imedraw tena kwa 2-2 na Sunderland ni kuwafanya wawe katika wakati mgumu sana wa kuwania ubigwa wa Ligi Kuu England.

Kocha wao Pellegrin anasema wachezaji wake wanayo hofu sana ya michezo baada ya kufungwa na Liverpool hivyo walicheza kwa kutojiamini jambo lililosababisha matokeo ya jana ya 2-2 na Sunderland.

Magoli ya Man City yamefungwa na Fernandinho (2), S. Nasri (88) huku yale ya Sunderland lakifungwa na C. Wickham (73, 83).

Matokeo mengine ya EPL haya hapa
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top