Unaambiwa pombe sio kitu kizuri lakini baadhi ya wadada hawataki kuamini.
Mdada huyu amejikuta akiingiliwa na watu bila kujijua na alipopata fahamu akajikuta
mambo yameharibika.
Inasemekana vibaka hao waliokuwemo kwenye baa aliyokuwa anakunywa walipomwona amezidiwa walimchukua kwenda nae kichakani kumfanyia tukio kisha wakamrudisha na kumwacha barabarani pembeni kidogo ya baa aliyokuwemo.
Baada ya camera man kumhoji alikiri kuwa alizidiwa na pombe na kusema anajuta pia alikiri kuwa ni dent wa chuo ila alikataa kusema chuo anachosoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment