Tuesday, March 25, 2014
Browse » Home »
Afya
,
udaku
» Mimba ya Diva iliyokuwa ya mapacha yachoropoka! habari kamili hii hapa.
Mimba ya Diva iliyokuwa ya mapacha yachoropoka! habari kamili hii hapa.
Kupitia akaunt yake ya Instagram Diva Loveness Love mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa na Clouds FM ametupia picha ikionyesha vichanga mapacha waliyokuwa tumboni mwake wamefariki na kumuachia simanzi.
Diva aliwahi kufunguka kuwa mwaka huu anatamani kupata mtoto na kweli alibahatika kupata mimba aliyopewa na King Crazy GK ambayo alifanya siri kubwa lakini bahati haikuwa ya kwao na mimba hiyo iliyokuwa na mapacha kuharibika.
Tazama picha na maneno aliyoshare instagram
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment