Tuesday, March 25, 2014

Binti mmoja mkazi wa same ajeruhiwa vibaya na wembe wa Gillette na mdada wakigombania mwanaume.


DADA huyu mkazi wa Same mkoani Kilimanjaro alijeruhiwa vibaya sehemu za usoni na wembe wenye ncha kali sana.

Tukio hilo lilijiri siku ya Jumapili Wiki iliyopita,
Chanzo cha habari kilieleza kuwa ugomvi ulisababishwa na wivu wa mapenzi.
Chanzo hakikutaja jina la Dada huyu wala mtuhumiwa mpaka sasa Dada huyu yupo Hospitali ya wilaya Same.

Taarifa zaidi endelea kufatilia hapa.
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top