LIYEKUWA Spika wa Bunge la tisa, ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki,Samuel John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalum la Katiba baada ya kushinda kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rungwe! Mhe. Sitta ameshinda nafasi hyo hivi punde baada ya uchaguzi uliofanyika bungeni!
Wednesday, March 12, 2014
Mhe.Samuel John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalum la Katiba.
LIYEKUWA Spika wa Bunge la tisa, ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki,Samuel John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalum la Katiba baada ya kushinda kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rungwe! Mhe. Sitta ameshinda nafasi hyo hivi punde baada ya uchaguzi uliofanyika bungeni!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment