Taarifa zaidi tutakujuza zitakapotufikia.
Wednesday, March 12, 2014
Browse » Home »
Ajali
» Mlipuka mkubwa umetokea jijini New York na tayari watu wawili wamethibitiswa kufariki.
Mlipuka mkubwa umetokea jijini New York na tayari watu wawili wamethibitiswa kufariki.
Majengo mawili yameporomoka New York Marekani ambapo mpaka sasa imetoka
ripoti ya watu wawili kufariki na wengine kutoonekana huku 18
wakijeruhiwa na wanne wakikimbizwa hospitali.Chanzo cha majengo hayo
kuporomoka ni mlipuko uliotokana na kuvuja kwa gesi ambapo askari wa
zimamoto wakiwa na vifaa vya kisasa wako kwenye eneo la tukio kuendelea
kuzima moto.
Taarifa zaidi tutakujuza zitakapotufikia.
Taarifa zaidi tutakujuza zitakapotufikia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA
Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko PamojaPost a Comment