Sunday, February 9, 2014

Mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kalenga GODFREY MGIMWA ameshinda kula za maoni kwa CCM.

Mtokeo  ya  kura  za maoni  ndani ya  CCM yametangazwa, mtoto wa aliyekuwa mbunge  wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akishinda kwa  kishindo  katika  nafasi hiyo huku Jackson Kiswaga akifuatia katika matokeo hayo.

Mtoto wa Mgimwa amepata  kushinda kwa kura 342 huku Kiswaga  akipata kura 170 na mkuu wa wilya ya Pangani Hafsa Mtasiwa akiambulia  kura 42 .

matokeo hayo  yametangazwa usiku wa jana  katika  ukumbi wa shule ya  sekondari  Mwembetogwa mjini Iringa huku mgombea Peter Mtisi akipata  kura 33 ,Msafiri Pangagira kura 8,Bryson Kibasa kura 7,Edward Mtakimwa kura 3 na Thomas Mwiluka akiambulia kura 2
Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top