Monday, January 27, 2014

Raisi Kikwete atua Magole-Dumila, akagua daraja na kuongea na wananchi.

 Helkopta iliyokuja na Rais Kikwete ikitua eneo la daraja la Dumila mkoani Morogoro leo
 
Rais Kikwete akishuka katika helkopta aliyokuja nayo.
 
Rais Kikwete akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Magole mkoani Morogoro waliokumbwa na mafuriko ambao kwa sasa wanaishi katika mahema yaliyopo Shule ya Sekondari Magole


Rais Kikwete (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi.
RAIS Dk. Jakaya Kikwete leo ametua kwa helikopta kijijini Magole, Dumila ili kukagua daraja lililoharibiwa na mvua pamoja na kuongea na wananchi wa eneo hilo waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea Januari 22, mwaka huu wilayani Mvomero, Morogoro.

CREDIT: GPL

Tafadhali bofya like kama bado hujabofya kwenye page yetu

Share this article

0 comments:

ASANTE KWA KUTEMBEA BLOGU YAKO::KARIBU SANA

Toa Mani yako Hapa usiogope Tuko Pamoja

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Chopa News • All Rights Reserved.
| Template Design by Anga Zio Team • Powered by Blogger online
back to top